Kituo cha huduma kwa wateja kwa wakulima chazinduliwa
WAZIRI wa kilimo Hussein Bashe amezindua kituo cha huduma kwa wateja ambapo wakulima watapata nafasi ya kupiga simu bure Ili kupata taarifa na kuuliza maswali yanayohusiana na kilimo lengo likiwa ni kuwafikia wakulima popote walipo Nchini. Sifa Lubasi “Mkulima yoyote popote alipo Tanzania atapiga simu atauliza maswali ,atasikilizwa na kupata majibu,” alisema. Alisema hayo jana wakati wa uzinduzi wa…