Mama Seki: nimeigia mikataba na wakulima wadogowadogo kuniuzia mahindi, Ruvuma na Iringa
Na Mwandishi wetu BARAKA kubwa katika kazi za mikono hutegemea zaidi namna unavyofanya menejimenti ya program unayoifanya na mkazo unaotilia ili uweze kutoboza. Hata kama utaletewa mafunzo ya namna gani…