SERIKALI YA TANZANIA YAINGIA MAKUBALIANO NA WAFANYABIASHARA KUPIGA JEKI KILIMO CHA NGANO
DODOMA: 23.01.2021 Serikali imeingia makubaliano na wafanyabiashara ya zao la ngano kuwa wale wote waliokuwa wakiagiza ngano nje ya nchi sasa watanunua asilimia 60 ya ngano hiyo hapa nchini ili kukuza soko la wakulima na kuhakikisha nchi inajitosheleza kwa bidhaa hiyo. Makubaliano hayo yameingiwa leo Jijini Dodoma kati ya Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda na Wafanyabiashara wakubwa wa…