Improving the livelihood of small-scale farmers
Taking a New Look at Africa's Agriculture; Develoepmental Communication

Bil 130/- za korosho zaingia katika mzunguko Lindi

NACHINGWEA 18.1.2021 BAADA ya minada 23  mkoa wa Lindi umefunga rasmi msimu wa korosho 2020 na kuanza kujiandaa na msimu wa ufuta. Msimu huo umemalizika baada ya kufanyika kwa mnada wa mwisho kwa wakulima wa Liwale kupitia Chama Kikuu cha Ushirika cha Ruangwa, Nachingwea na Liwale (Runali). Mnada  huo wa 13 kwa Runali  ni mnada wa  23 kwa mkoa…

Read More

MIRADI 11 YA ERPP MOROGORO YAKAMILIKA KWA ASILIMIA 97

IFAKARA 15.01.2021 Wizara ya Kilimo kupitia mradi wa kuongeza tija na uzalishaji wa zao la mpunga (ERPP) imefanikiwa kukamilisha miradi kumi na moja iliyopo mkoani Morogoro na itakabidhiwa kwa wakulima mwisho wa mwezi huu. Hayo yamebainishwa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya wakati alipozungumza na wakulima wa kijiji cha Msolwa Ujamaa Halmashauri ya Mji wa Ifakara…

Read More

Mhandisi wa Umwagiliaji mkoa wa Tabora matatani

TABORA: 14.01.2021 Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameiagiza Tume ya Taifa ya Umwagiaji kumpangia kazi nyingine Mhandisi wa Umwagiliaji Mkoa wa Tabora baada ya kushindwa kusimamia skimu ya Umwagiliaji Inala na maeneo mengine mkoani humo. Hatua hiyo inatokana na udhaifu uliojitokeza katika Skimu Inala , Manispaa ya Tabora ya wakulima kulima ekari 15 badala ya hekta 400 zinazotakiwa…

Read More

Tanzania: Maofisa ugani watakiwa kutoa elimu ya kilimo bora kwa kaya maskini

Singida: 13.01.2021 Maafisa Ugani wametakiwa kutoa elimu ya kilimo bora cha mazao ya biashara  kwa kaya zote maskini nchini zinazonufaika na ruzuku inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini.  Imeelezwa kuwa elimu hiyo itasaidia kaya hizo ziweze kupata mavuno bora yatakayoziwezesha kuboresha maisha yao na kuondokana na umaskini. Hayo yamesemwa na Naibu…

Read More

Tanzania: Walima choroko watakiwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani

Shinyanga: 11.1.2021 MAOFISA kilimo mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi ghalani kwa wakulima wa zao la choroko ili waache tabia ya kuuza mazao yakiwa bado shambani . Imeelezwa kitendo cha kuuza mazao hayo yakiwa shambani kunanufaisgha walanguzi wakati wao wanabaki maskini. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi Zainab Telack wakati wa ufunguzi…

Read More

Kilimo kupitia upya Sheria ya Ushirika

Dodoma: 06.01.2021 WIZARA ya kilimo imesema inajipanga kuanza kupitia upya Sheria ya Ushirika  na kupata maoni ya wadau ili kuwa na sheria mpya ya Ushirika itakayoendana na mazingira ya sasa. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda wakati wa halfa ya kukabidhi magari, kompyuta na Laptop  kwa Warajisi Wasaidizi wa mikoa ya Tanzania Bara, mjini hapa….

Read More

Jinsi Tari Naliendele inavyoanzisha kilimo cha maharage Kusini ya Tanzania

 Na Beda Msimbe “Kiukweli kilimo cha maharage ni kipya katika maeneo hayo. Hapo zamani mazao  ambayo wakulima walizoea kulima ni karanga,njugu na mbaazi” Maharage ni zao maarufu zaidi duniani kati ya mazao mengine ya jamii ya mikunde. Maharage yalifika Tanzania miaka mia tatu (300) iliyopita. Nchini Tanzania na sehemu kubwa ya Afrika Mashariki, maharage yanazalishwa kwa ajili ya matumizi…

Read More

Tanzania: Uchakataji korosho utakavyoleta neema kwa taifa

“Wakati umefika kwa watanzania kujifunza na kuzalisha kwa kasi  korosho ghafi si kwa kwenda kuziuza zilivyo bali kuzichakata ili kupata mahitaji mbalimbali ambayo yatasaidia bei ya korosho na mazao mengine mtambuka kuwa juu na kufaidisha jamii na taifa kwa ujumla” Na Beda  Msimbe MLIPUKO wa ugonjwa wa Covid 19 umeleta kizaazaa katika masoko mengi duniani ikiwamo soko la korosho…

Read More

10 Powerful Agriculture Quotes From Dr Agnes Kalibata

Dr Agnes Kalibata is a champion for empowerment of smallholder households (agriculture) in Africa. She works in the “road” to get the African small farmer out of the vicious circle of poverty. She is the President of AGRA and UN Secretary-General’s Special Envoy for the 2021 Food Systems Summit. Below are 10 short timeless agriculture quotes gleaned from Dr…

Read More