Improving the livelihood of small-scale farmers
Taking a New Look at Africa's Agriculture; Develoepmental Communication

Runali wauza kilo milioni 1.7 za korosho mnada wa 11

LIWALE:24:12:2020 JUMLA ya kilo 1,717,665  za korosho za daraja la kwanza na la pili ziliuzwa katika mnada 11 wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Ruangwa, Nachingwea na Liwale (RUNALI) uliofanyika mjini Liwale hivi karibuni.Mauzo hayo yalifanywa kwa mfumo wa sanduku na mauzo ya mtandao (TMX) ambapo kampuni Baada ya kampuni 14 zilijitokeza kununua. Mnada huo ambao unakuwa ni wa…

Read More

Tanzania: Serikali kuendelea kukabili uvuvi haramu

BABATI 21:12:2020, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Pauline Gekul amekemea uvuvi usiozingatia sheria na taratibu na kwamba serikali imejipanga kukomesha tabia hiyo ili raslimali zilizopo ziwe endelevu na zinufaishe kaya na taifa. Akizungumza na Wavuvi wa Mkoa wa Manyara alipofanya ziara mkoani humo Gekul alisema serikali itaendelea na operesheni zake za kupambana na uvuvi haramu na akataka wavuvi…

Read More

Tanzania: Waliosababisha ‘dhiki’ kuzuiwa kuwania uongozi Ushirika

LINDI: 22:12:2020 Msajiri wa vyama vya Ushirika Lindi, Edmund Massawe ameonya viongozi wa vyama vya ushirika waliosababisha hasara katika vyama vyao kutothubutu kuchukua fomu za kuwania uongozi. Akizungumza baada ya mnada wa kumi wa korosho wilaya ya Liwale hivi karibuni, Masawe alisema kwamba vyama vya ushirika hasa vya mazao vinatarajia kuanza uchaguzi wiki ya Pili ya Januari mwakani na…

Read More

Prof. Ntiba roots for an alternative production of aquatic proteins in Kenya

By  Edwin Githinji  E-mail:  eddy.githinji022@gmail.com 23/11/2020 Kenya recognizes the urgent need for the protection of water sources, resources and the implementation of alternative production of aquatic proteins. Kenya’s Principal Secretary State Department for Fisheries, Aquaculture and the Blue economies, Prof. Japhet Micheni Ntiba, made the statement in commemoration of World Fisheries Day. On the 20th day of November each…

Read More

Waziri wa Kilimo aelezea vipaumbele chake

DODOMA, 21:12;2020 WAZIRI wa Kilimo, Prof Adolf Mkenda amesema kipaumbele chake ni kuona wakulima wanaongeza tija kwenye uzalishaji wa mazao nchini kwa kutumia eneo dogo. Waziri wa Kilimo amesema hayo leo wakati akikakabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga katika hafla iliyofanyika makao makuu ya Wizara ya Kilimo, Mtumba jijini Dodoma . Alisema lengo ni kuwa…

Read More

Kenya: Coffee Bill 2020 public participation meetings continue

Agriculture CS Hon Peter Munya has concluded a three-day public participation meeting on Coffee Bill 2020 at Nyamathumbi Primary School, Gatundu North Constituency in Kiambu County. He was joined by the area MP Hon. Wanjiku Kibe and Secretary Administration Mr. Kello Harsama. Farmers from three sub-counties: Gatundu North Githunguri and Gatundu North, have embraced the reforms which they say…

Read More

Waziri wa Kilimo Prof Mkenda aeleza vipaumbele vyake

Dodoma Waziri wa Kilimo Prof Adolf Mkenda amesema kipaumbele chake ni kuona wakulima wanaongeza tija kwenye uzalishaji wa mazao nchini kwa kutumia eneo dogo kuzalisha mazao mengi zaidi na kukuza uchumi wa kaya na taifa. Waziri wa Kilimo amesema hayo wakati akikabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Waziri wa Kilimo,  Japhet Hasunga katika hafla iliyofanyika makao makuu ya wizara  Mtumba…

Read More

Waagizwa kusimamia uuzaji wa mbolea

Mbeya, 6:12:2020 VIONGOZI wa vijiji,mitaa na vitongoji wilayani Mbarali mkoani Mbeya wameagizwa kusimamia uuzaji mbolea wenye kuzingatia bei elekezi iliyowekwa na Serikali ili kuepusha wakulima kuibiwa na wauzaji wasio waaminifu. Agizo hilo lilitolewa na Kaimu katibu Tawala wa wilaya ya Mbarali,Oliva Sule alipomwakilisha mkuu wa wilaya hiyo Reuben Mfune kutoa salamu za Serikali kwenye Kikao cha kawaida cha Baraza…

Read More

Wakulima Mvomero wanufaika na bima ya fidia ya mazao

Na Mwandishi Wetu, Mvomero 11.12.2020 Shirika la Bima la Taifa limewalipa wakulima watano wa Mvomero jumla ya shilingi milioni 23 ikiwa ni fidia ya mazao yao kuharibiwa na majanga ikiwemo mafuriko yaliyoharibu mashamba yao ya mpunga na mahindi msimu uliopita wa kilimo. Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya ndiye aliyekabidhi hundi ya shilingi milioni 23 kwa wakulima watano…

Read More

Advancing research on climate change: World Bank grants $60 million to help strengthen the resilience of the agricultural sector in Africa

This piece was originally published on the World Bank’s website. WASHINGTON  – The World Bank Board of Directors today approved a $60 million International Development Association (IDA)* grant to help African countries strengthen the resilience of their agricultural sectors to the threat posed by climate change. The grant fulfils the World Bank’s commitment at the 2019 United Nations Climate Summit…

Read More