Serikali ya tanzania yaahidi nguvu zaidi uzalishaji alizeti
DODOMA: 22.1.2021 SERIKALI imesema ina mpango wa kuongeza nguvu uzalishaji wa zao la alizeti kwa lengo la kuhakikisha kuna mafuta ya kutosha ya kula yanayozalishwa nchini na hivyo kupunguza utegemezi wa mafuta hayo kutoka nje. Kwa mujibu wa takwimu zilizopo sasa uzalishaji wa ndani unakidhi asilimia 43. Aidha nchi inazalisha tani 270,000 za mafuta ya kula kila mwaka na…