Improving the livelihood of small-scale farmers
Taking a New Look at Africa's Agriculture; Develoepmental Communication

Tanzania: Maofisa ugani watakiwa kutoa elimu ya kilimo bora kwa kaya maskini

Singida: 13.01.2021 Maafisa Ugani wametakiwa kutoa elimu ya kilimo bora cha mazao ya biashara  kwa kaya zote maskini nchini zinazonufaika na ruzuku inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini.  Imeelezwa kuwa elimu hiyo itasaidia kaya hizo ziweze kupata mavuno bora yatakayoziwezesha kuboresha maisha yao na kuondokana na umaskini. Hayo yamesemwa na Naibu…

Read More

Tanzania: Walima choroko watakiwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani

Shinyanga: 11.1.2021 MAOFISA kilimo mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi ghalani kwa wakulima wa zao la choroko ili waache tabia ya kuuza mazao yakiwa bado shambani . Imeelezwa kitendo cha kuuza mazao hayo yakiwa shambani kunanufaisgha walanguzi wakati wao wanabaki maskini. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi Zainab Telack wakati wa ufunguzi…

Read More

Kilimo kupitia upya Sheria ya Ushirika

Dodoma: 06.01.2021 WIZARA ya kilimo imesema inajipanga kuanza kupitia upya Sheria ya Ushirika  na kupata maoni ya wadau ili kuwa na sheria mpya ya Ushirika itakayoendana na mazingira ya sasa. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda wakati wa halfa ya kukabidhi magari, kompyuta na Laptop  kwa Warajisi Wasaidizi wa mikoa ya Tanzania Bara, mjini hapa….

Read More

Jinsi Tari Naliendele inavyoanzisha kilimo cha maharage Kusini ya Tanzania

 Na Beda Msimbe “Kiukweli kilimo cha maharage ni kipya katika maeneo hayo. Hapo zamani mazao  ambayo wakulima walizoea kulima ni karanga,njugu na mbaazi” Maharage ni zao maarufu zaidi duniani kati ya mazao mengine ya jamii ya mikunde. Maharage yalifika Tanzania miaka mia tatu (300) iliyopita. Nchini Tanzania na sehemu kubwa ya Afrika Mashariki, maharage yanazalishwa kwa ajili ya matumizi…

Read More

Tanzania: Uchakataji korosho utakavyoleta neema kwa taifa

“Wakati umefika kwa watanzania kujifunza na kuzalisha kwa kasi  korosho ghafi si kwa kwenda kuziuza zilivyo bali kuzichakata ili kupata mahitaji mbalimbali ambayo yatasaidia bei ya korosho na mazao mengine mtambuka kuwa juu na kufaidisha jamii na taifa kwa ujumla” Na Beda  Msimbe MLIPUKO wa ugonjwa wa Covid 19 umeleta kizaazaa katika masoko mengi duniani ikiwamo soko la korosho…

Read More

Runali wauza kilo milioni 1.7 za korosho mnada wa 11

LIWALE:24:12:2020 JUMLA ya kilo 1,717,665  za korosho za daraja la kwanza na la pili ziliuzwa katika mnada 11 wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Ruangwa, Nachingwea na Liwale (RUNALI) uliofanyika mjini Liwale hivi karibuni.Mauzo hayo yalifanywa kwa mfumo wa sanduku na mauzo ya mtandao (TMX) ambapo kampuni Baada ya kampuni 14 zilijitokeza kununua. Mnada huo ambao unakuwa ni wa…

Read More

Tanzania: Serikali kuendelea kukabili uvuvi haramu

BABATI 21:12:2020, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Pauline Gekul amekemea uvuvi usiozingatia sheria na taratibu na kwamba serikali imejipanga kukomesha tabia hiyo ili raslimali zilizopo ziwe endelevu na zinufaishe kaya na taifa. Akizungumza na Wavuvi wa Mkoa wa Manyara alipofanya ziara mkoani humo Gekul alisema serikali itaendelea na operesheni zake za kupambana na uvuvi haramu na akataka wavuvi…

Read More

Tanzania: Waliosababisha ‘dhiki’ kuzuiwa kuwania uongozi Ushirika

LINDI: 22:12:2020 Msajiri wa vyama vya Ushirika Lindi, Edmund Massawe ameonya viongozi wa vyama vya ushirika waliosababisha hasara katika vyama vyao kutothubutu kuchukua fomu za kuwania uongozi. Akizungumza baada ya mnada wa kumi wa korosho wilaya ya Liwale hivi karibuni, Masawe alisema kwamba vyama vya ushirika hasa vya mazao vinatarajia kuanza uchaguzi wiki ya Pili ya Januari mwakani na…

Read More

Waziri wa Kilimo aelezea vipaumbele chake

DODOMA, 21:12;2020 WAZIRI wa Kilimo, Prof Adolf Mkenda amesema kipaumbele chake ni kuona wakulima wanaongeza tija kwenye uzalishaji wa mazao nchini kwa kutumia eneo dogo. Waziri wa Kilimo amesema hayo leo wakati akikakabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga katika hafla iliyofanyika makao makuu ya Wizara ya Kilimo, Mtumba jijini Dodoma . Alisema lengo ni kuwa…

Read More

Waziri wa Kilimo Prof Mkenda aeleza vipaumbele vyake

Dodoma Waziri wa Kilimo Prof Adolf Mkenda amesema kipaumbele chake ni kuona wakulima wanaongeza tija kwenye uzalishaji wa mazao nchini kwa kutumia eneo dogo kuzalisha mazao mengi zaidi na kukuza uchumi wa kaya na taifa. Waziri wa Kilimo amesema hayo wakati akikabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Waziri wa Kilimo,  Japhet Hasunga katika hafla iliyofanyika makao makuu ya wizara  Mtumba…

Read More