August 4, 2022
by Kilimo Tanzania
The selected Top applicants are from nine African countries: Benin, Gambia, Ghana, Kenya, Malawi, Nigeria, South Africa, Uganda, and Zimbabwe. The applicants were selected from a total of 1478 applicants from 38 African countries. The Women Agripreneurs of the Year Awards (WAYA)has announced the 2022 edition’s Top 15 applicants. The outstanding women agripreneurs were selected by […]
July 7, 2022
by Kilimo Tanzania
WAZIRI wa kilimo Hussein Bashe amezindua kituo cha huduma kwa wateja ambapo wakulima watapata nafasi ya kupiga simu bure Ili kupata taarifa na kuuliza maswali yanayohusiana na kilimo lengo likiwa ni kuwafikia wakulima popote walipo Nchini. Sifa Lubasi “Mkulima yoyote popote alipo Tanzania atapiga simu atauliza maswali ,atasikilizwa na kupata majibu,” alisema. Alisema hayo jana […]
June 13, 2021
by Kilimo Tanzania
The Prime Minister of the United Republic of Tanzania, Hon. Kassim Majaliwa Majaliwa, on the afternoon of June 13, 2021, urged sunflower farmers in the sunflower-growing regions to focus on farming this crop as they can reap significant profits in a short period due to high local and international demand. Prime Minister Kassim Majaliwa Majaliwa […]
May 18, 2021
by Kilimo Tanzania
DODOMA:13.5.2021 SERIKALI imesema inaendelea na udhibiti wa ndege waharibifu aina ya kwelea kwelea waliovamia mashamba katika wilaya 22 zilizopo kwenye mikoa 12 nchini. Kazi ya kudhibiti ilianza Novemba 17 , 2020 na bado inaendelea. Aidha imesema kwamba kazi ya kudhibiti ndege hao inaendelea pia katika maeneo mapya yaliyoripotiwa katika Mkoa wa Tabora na Simiyu na […]
May 18, 2021
by Kilimo Tanzania
Tanzania MWENYEKITI wa Chama Cha Wadau wa Zao la Muhogo (TACAPPA) Mwantumu Mahiza, amesema uzalishaji mkubwa wa mihogo uliondoa tatizo la upatikanaji wa futari wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Alisema miaka ya nyuma upatikanaji wa mihogo kwenye masoko haukuwa mkubwa kama ilivyo sasa ambazo mihogo imekuwa mingi na hata bei yake ni […]
March 9, 2021
by Kilimo Tanzania
In June 2006, the AU member states adopted the “Abuja Declaration on Fertilizer for the African Green Revolution” and resolved to increase fertilizer consumption rates across the continent from 8 kilograms per hectare to 50 kilograms per hectare by 2015, a target whose deadline has been surpassed. In Tanzania, fertilizer usage stands at 13.68 kg/ha […]
March 4, 2021
by Kilimo Tanzania
By Isaiah Esipisu | Nation Media Group King’ori is a quiet village in Arumeru District in Arusha, Tanzania. It is in this region, East Africa’s diplomatic hub, that one finds Uremi Agricultural Marketing Co-operative Society (Amcos). The Seeds of Gold team finds its members gathered at a social hall to discuss an important and urgent […]
January 14, 2021
by Kilimo Tanzania
TABORA: 14.01.2021 Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameiagiza Tume ya Taifa ya Umwagiaji kumpangia kazi nyingine Mhandisi wa Umwagiliaji Mkoa wa Tabora baada ya kushindwa kusimamia skimu ya Umwagiliaji Inala na maeneo mengine mkoani humo. Hatua hiyo inatokana na udhaifu uliojitokeza katika Skimu Inala , Manispaa ya Tabora ya wakulima kulima ekari 15 badala […]
January 13, 2021
by Kilimo Tanzania
Singida: 13.01.2021 Maafisa Ugani wametakiwa kutoa elimu ya kilimo bora cha mazao ya biashara kwa kaya zote maskini nchini zinazonufaika na ruzuku inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini. Imeelezwa kuwa elimu hiyo itasaidia kaya hizo ziweze kupata mavuno bora yatakayoziwezesha kuboresha maisha yao na kuondokana na umaskini. […]
January 12, 2021
by Kilimo Tanzania
Shinyanga: 11.1.2021 MAOFISA kilimo mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi ghalani kwa wakulima wa zao la choroko ili waache tabia ya kuuza mazao yakiwa bado shambani . Imeelezwa kitendo cha kuuza mazao hayo yakiwa shambani kunanufaisgha walanguzi wakati wao wanabaki maskini. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi Zainab […]