Improving the livelihood of small-scale farmers
Taking a New Look at Africa's Agriculture; Develoepmental Communication

Waagizwa kusimamia uuzaji wa mbolea

Mbeya, 6:12:2020 VIONGOZI wa vijiji,mitaa na vitongoji wilayani Mbarali mkoani Mbeya wameagizwa kusimamia uuzaji mbolea wenye kuzingatia bei elekezi iliyowekwa na Serikali ili kuepusha wakulima kuibiwa na wauzaji wasio waaminifu. Agizo hilo lilitolewa na Kaimu katibu Tawala wa wilaya ya Mbarali,Oliva Sule alipomwakilisha mkuu wa wilaya hiyo Reuben Mfune kutoa salamu za Serikali kwenye Kikao cha kawaida cha Baraza…

Read More

Wakulima Mvomero wanufaika na bima ya fidia ya mazao

Na Mwandishi Wetu, Mvomero 11.12.2020 Shirika la Bima la Taifa limewalipa wakulima watano wa Mvomero jumla ya shilingi milioni 23 ikiwa ni fidia ya mazao yao kuharibiwa na majanga ikiwemo mafuriko yaliyoharibu mashamba yao ya mpunga na mahindi msimu uliopita wa kilimo. Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya ndiye aliyekabidhi hundi ya shilingi milioni 23 kwa wakulima watano…

Read More

Kusaya aona ajira yenye tija kwa vijana ni kilimo

Kusaya aona ajira yenye tija kwa vijana ni kilimo Rufiji Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya aliwahamasisha Vijana waliopata mafunzo ya kilimo na ufugaji wa kuku wa nyama na mayai kufikiria kujiajiri kwa kuanzia na mitaji midogo. Katibu mkuu huyo alisema hayo wakati akifunga mafunzo ya kilimo na ufugaji kwa vitendo kwa Vijana 48 wa mkoa wa Pwani…

Read More

Tanzania horti export potential might be $2+ billion

The African nation of Tanzania is currently exporting horticulture produce valued at more than US$780 million. However, the industry’s potential is estimated to be more than US $2 billion. The money might be flowing in as new markets are opened up abroad. Dr Jacquiline Mkindi, the Chief Executive Director for TAHA, said: “Our flagship horticultural products include avocados from…

Read More

Mali za ushirika za Bil 61 za vyama vya Nyanza, Geita na Simiyu zarejeshwa

Mwanza, 23:11:2020  Serikali ya Awamu ya Tano imefanikiwa kurejesha mali za vyama vikuu vya ushirika Nyanza, Geita na Simiyu zenye thamani ya Shilingi Bilioni 61 zilizokuwa zikimilikiwa kinyume cha utaratibu. Akikabidhi hati 37 kwa wenyeviti wa vyama vya Nyanza (NCU),Geita (GCU) na Simiyu (SIMCU) leo (23.11.2020) jijini Mwanza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya amesema kazi hiyo ni…

Read More

Kusaya ataka fedha za wafadhili kuendeleza kilimo shambani

Musoma,19:11:2020 Serikali imezitaka taasisi na mashirika binafsi yanayopokea fedha toka kwa wahisani na wafadhili ndani na nje ya nchi kwa ajili ya kilimo kuhakikisha kwamba wanazitumia katika miradi hiyo ili kukuza sekta ya kilimo na kuwawezesha wakulima kupata kipato. Kauli hiyo ya serikali imetolewa Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya wakati akifungua maonesho ya siku tatu ya kilimo…

Read More

Manufaa ya kilimo mseto yaelezwa

” Kilimo mseto kwa usalama wa chakula na kipato” Musoma, 19:11:2020 Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya amehamasisha wakulima na wafugaji nchini kutumia kilimo mseto ili kuongeza uhakika wa chakula na kipato. Alsema hayo akifungua Maonesho ya Kilimo Mseto yanayofanyika mjini Musoma kwa kuwashirikisha wakulima, wafugaji na wavuvi chini ya uratibu wa shirika la Vi Agroforestry pamoja…

Read More

Serikali kujenga skimu ya umwagiliaji Nguvukazi mwanavala

Songwe Wizara ya Kilimo imesema itajenga miundombinu ya skimu ya umwagiliaji ya Nguvukazi Mwanavala katika kata ya Imalilo Songwe wilaya ya Mbarali yenye eneo linalokadiriwa kuwa hekta 6,500. Aidha shughuli hiyo itafanyika baada ya kukamilika kwa utekelezaji wa maagizo ya Rais kupitia kamati ya mawaziri. Kauli hiyo ya serikali imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Kusaya wakati…

Read More

Bil 56/- zatumika kujenga vihenge vya kisasa

Njombe Serikali ya awamu ya tano imetumia shilingi Bilioni 56 kujenga vihenge vya kisasa na maghala ili kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kufikia tani 501,000 mwaka 2020 toka tani 250,000 mwaka 2015. Mafanikio hayo ya serikali yamesemwa na Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba  wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani kitaifa mkoani Njombe. Mgumba amebainisha kuwa Serikali…

Read More

Katibu Mkuu ataka weledi na uadilifu watumishi Kilimo

Morogoro Watumishi wa Wizara ya Kilimo wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu na kuzingatia maadili ya utumishi wa umma ili kuongeza tija katika kuwahudumia wananchi. Wito huo umetolewa leo mjini Morogoro na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Kusaya wakati alipofungua mafunzo ya siku nne kwa wakuu wa taasisi, bodi na wakala chini ya wizara kuhusu kamati za kudhibiti uadilifu….

Read More