Skip to content
Kilimo Kwanza

African Agriculture and Food Systems

  • Articles
    • Features
    • Habari/Makala
    • Money
    • SAGCOT/AGCOT
    • Press Releases
    • Africa
    • Consultancy
  • Research
ENSW

Serikali ya tanzania yaahidi nguvu zaidi uzalishaji alizeti

January 22, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

DODOMA: 22.1.2021 SERIKALI imesema ina mpango wa kuongeza nguvu uzalishaji wa zao la alizeti kwa lengo la kuhakikisha kuna mafuta ya kutosha ya kula yanayozalishwa nchini na hivyo kupunguza utegemezi…

Read More →

Wasindika mchele na soko la Afrika mashariki

January 21, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

KAHAMA: 21.1.2021  WASINDIKAJI wa mchele  wameitaka serikali kufungua soko la EAC na SADC  ili waweze kuwa na bei yenye ushindani. Imeelezwa kuwa soko la nje limebanwa na kujikuta wakigiombea wanunuzi wa ndani huku…

Read More →

Halmashauri zinazolima mkonge zatakiwa kuanzisha vitalu vya miche

January 20, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WAZIRI WAZIRI MKUU ATOA AGIZO UENDELEZAJI ZAO LA MKONGE *Halmashauri zinazolima mkonge zatakiwa kuanzisha vitalu vya miche WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza Halmashauri zinazolima mkonge…

Read More →

Halmashauri zinazolima mkonge zatakiwa kuanzisha vitalu vya miche

January 20, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

KOROGWE: 20.1.2021 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza Halmashauri zinazolima mkonge nchini pamoja na wakulima wakubwa wa mkonge watenge ekari 10 kwa akili ya kuanzisha vitalu vya kuzalisha miche ya mkonge…

Read More →

Majaliwa ataka halmashauri zianzishe vitalu vya mbegu za mkonge

January 20, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

MUHEZA: 20.01.2021 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza Halmashauri zote zinazolima zao la mkonge kuanzisha vitalu vya kuzalisha miche bora ya mkonge na kuigawa kwa wakulima ili kufufua mashamba zaidi na…

Read More →

Tani 36,298 za katani zazalishwa 2020

January 20, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

MUHEZA 20.01. 2021 Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alisema mwaka 2020 uzalishaji wa mkonge nchini ulikuwa ni tani 36,298 huku malengo yakiwa ni kuzalisha tani 42,286 kwa mwaka huo….

Read More →

Uzalishaji kapunga wapanda ,aksante kwa teknolojia mpya

January 19, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

MBARALI 8.7.2018 MATUMIZI ya teknolojia za kisasa kumewezesha uzalishaji katika mradi wa Kapunga kuongezeka na kufikia wastani wa asilimia 6.5 ya uzalishaji kwa hekta moja. Kauli hiyo imetolewa na Ofisa…

Read More →

Bil 130/- za korosho zaingia katika mzunguko Lindi

January 18, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

NACHINGWEA 18.1.2021 BAADA ya minada 23  mkoa wa Lindi umefunga rasmi msimu wa korosho 2020 na kuanza kujiandaa na msimu wa ufuta. Msimu huo umemalizika baada ya kufanyika kwa mnada…

Read More →

MIRADI 11 YA ERPP MOROGORO YAKAMILIKA KWA ASILIMIA 97

January 15, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

IFAKARA 15.01.2021 Wizara ya Kilimo kupitia mradi wa kuongeza tija na uzalishaji wa zao la mpunga (ERPP) imefanikiwa kukamilisha miradi kumi na moja iliyopo mkoani Morogoro na itakabidhiwa kwa wakulima…

Read More →

Mhandisi wa Umwagiliaji mkoa wa Tabora matatani

January 14, 2021 Kilimo Tanzania Habari/Makala

TABORA: 14.01.2021 Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameiagiza Tume ya Taifa ya Umwagiaji kumpangia kazi nyingine Mhandisi wa Umwagiliaji Mkoa wa Tabora baada ya kushindwa kusimamia skimu ya Umwagiliaji…

Read More →

Posts pagination

Previous 1 … 148 149 150 151 152 … 165 Next
© 2025 Kilimo Kwanza. All rights reserved.
  • Articles
  • Research

A Digital Shamba Where Stories Grow Policy, and Data Feeds Action