Search Agricultural Insights

Menu

Kenya: Coffee Bill 2020 public participation meetings continue

Agriculture CS Hon Peter Munya has concluded a three-day public participation meeting on Coffee Bill 2020 at Nyamathumbi Primary School, Gatundu North Constituency in Kiambu County. He was joined by the area MP Hon. Wanjiku Kibe and Secretary Administration Mr. Kello Harsama. Farmers from three sub-counties: Gatundu North Githunguri and Gatundu North, have embraced the […]

Waziri wa Kilimo Prof Mkenda aeleza vipaumbele vyake

Dodoma Waziri wa Kilimo Prof Adolf Mkenda amesema kipaumbele chake ni kuona wakulima wanaongeza tija kwenye uzalishaji wa mazao nchini kwa kutumia eneo dogo kuzalisha mazao mengi zaidi na kukuza uchumi wa kaya na taifa. Waziri wa Kilimo amesema hayo wakati akikabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Waziri wa Kilimo,  Japhet Hasunga katika hafla iliyofanyika makao […]

Waagizwa kusimamia uuzaji wa mbolea

Mbeya, 6:12:2020 VIONGOZI wa vijiji,mitaa na vitongoji wilayani Mbarali mkoani Mbeya wameagizwa kusimamia uuzaji mbolea wenye kuzingatia bei elekezi iliyowekwa na Serikali ili kuepusha wakulima kuibiwa na wauzaji wasio waaminifu. Agizo hilo lilitolewa na Kaimu katibu Tawala wa wilaya ya Mbarali,Oliva Sule alipomwakilisha mkuu wa wilaya hiyo Reuben Mfune kutoa salamu za Serikali kwenye Kikao […]

Wakulima Mvomero wanufaika na bima ya fidia ya mazao

Na Mwandishi Wetu, Mvomero 11.12.2020 Shirika la Bima la Taifa limewalipa wakulima watano wa Mvomero jumla ya shilingi milioni 23 ikiwa ni fidia ya mazao yao kuharibiwa na majanga ikiwemo mafuriko yaliyoharibu mashamba yao ya mpunga na mahindi msimu uliopita wa kilimo. Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya ndiye aliyekabidhi hundi ya shilingi milioni […]

Advancing research on climate change: World Bank grants $60 million to help strengthen the resilience of the agricultural sector in Africa

This piece was originally published on the World Bank’s website. WASHINGTON  – The World Bank Board of Directors today approved a $60 million International Development Association (IDA)* grant to help African countries strengthen the resilience of their agricultural sectors to the threat posed by climate change. The grant fulfils the World Bank’s commitment at the 2019 […]

Tech innovation not silver bullet for addressing climate change or delivering sustainable food systems, says Cornell-led report

WAGENINGEN, THE NETHERLANDS – We must combine social and technological innovation to make the world’s agri-food systems healthy, equitable, resilient and sustainable, according to a new Expert Panel report from the Cornell Atkinson Center for Sustainability, published by Nature Sustainability in collaboration with its sibling journal, Nature Food.  The Expert Panel Report brought together 20 business, government, non-profit and scientific […]

Sustainable Soil Use Practices And Behavior Change Is Key To Saving Soils.

By Edwin Githinji email: eddy.githinji022@gmail.com On the 5th of December every year, the world comes together in celebration of the world soil day, a day set apart to acknowledge and celebrate the importance of soil as a critical component of the natural system, and a vital contributor to human well-being. On celebrating this day, the […]

Kusaya aona ajira yenye tija kwa vijana ni kilimo

Kusaya aona ajira yenye tija kwa vijana ni kilimo Rufiji Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya aliwahamasisha Vijana waliopata mafunzo ya kilimo na ufugaji wa kuku wa nyama na mayai kufikiria kujiajiri kwa kuanzia na mitaji midogo. Katibu mkuu huyo alisema hayo wakati akifunga mafunzo ya kilimo na ufugaji kwa vitendo kwa Vijana 48 […]

Tanzania horti export potential might be $2+ billion

The African nation of Tanzania is currently exporting horticulture produce valued at more than US$780 million. However, the industry’s potential is estimated to be more than US $2 billion. The money might be flowing in as new markets are opened up abroad. Dr Jacquiline Mkindi, the Chief Executive Director for TAHA, said: “Our flagship horticultural […]

Mali za ushirika za Bil 61 za vyama vya Nyanza, Geita na Simiyu zarejeshwa

Mwanza, 23:11:2020  Serikali ya Awamu ya Tano imefanikiwa kurejesha mali za vyama vikuu vya ushirika Nyanza, Geita na Simiyu zenye thamani ya Shilingi Bilioni 61 zilizokuwa zikimilikiwa kinyume cha utaratibu. Akikabidhi hati 37 kwa wenyeviti wa vyama vya Nyanza (NCU),Geita (GCU) na Simiyu (SIMCU) leo (23.11.2020) jijini Mwanza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya […]

Kilimokwanza Assistant ×
Hello! I can help you find information. What would you like to know?
Kilimokwanza Assistant
Hello! How can I help you learn about Kilimokwanza today?