Skip to content
Kilimo Kwanza

African Agriculture and Food Systems

  • Articles
    • Features
    • Habari/Makala
    • Money
    • SAGCOT/AGCOT
    • Press Releases
    • Africa
    • Consultancy
  • Research
ENSW

Tanzania: Maofisa ugani watakiwa kutoa elimu ya kilimo bora kwa kaya maskini

January 13, 2021 Kilimo Tanzania Habari/Makala

Singida: 13.01.2021 Maafisa Ugani wametakiwa kutoa elimu ya kilimo bora cha mazao ya biashara  kwa kaya zote maskini nchini zinazonufaika na ruzuku inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)…

Read More →

Tanzania: Walima choroko watakiwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani

January 12, 2021 Kilimo Tanzania Habari/Makala

Shinyanga: 11.1.2021 MAOFISA kilimo mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi ghalani kwa wakulima wa zao la choroko ili waache tabia ya kuuza mazao yakiwa bado shambani ….

Read More →

Kilimo kupitia upya Sheria ya Ushirika

January 6, 2021 Kilimo Tanzania Habari/Makala

Dodoma: 06.01.2021 WIZARA ya kilimo imesema inajipanga kuanza kupitia upya Sheria ya Ushirika  na kupata maoni ya wadau ili kuwa na sheria mpya ya Ushirika itakayoendana na mazingira ya sasa….

Read More →

Jinsi Tari Naliendele inavyoanzisha kilimo cha maharage Kusini ya Tanzania

January 5, 2021 Kilimokwanza Habari/Makala

 Na Beda Msimbe “Kiukweli kilimo cha maharage ni kipya katika maeneo hayo. Hapo zamani mazao  ambayo wakulima walizoea kulima ni karanga,njugu na mbaazi” Maharage ni zao maarufu zaidi duniani kati…

Read More →

Tanzania: Uchakataji korosho utakavyoleta neema kwa taifa

January 5, 2021 Kilimo Tanzania Habari/Makala

“Wakati umefika kwa watanzania kujifunza na kuzalisha kwa kasi  korosho ghafi si kwa kwenda kuziuza zilivyo bali kuzichakata ili kupata mahitaji mbalimbali ambayo yatasaidia bei ya korosho na mazao mengine…

Read More →

10 Powerful Agriculture Quotes From Dr Agnes Kalibata

January 5, 2021 Kenya News Features

Dr Agnes Kalibata is a champion for empowerment of smallholder households (agriculture) in Africa. She works in the “road” to get the African small farmer out of the vicious circle…

Read More →

Runali wauza kilo milioni 1.7 za korosho mnada wa 11

December 24, 2020 Kilimokwanza Habari/Makala

LIWALE:24:12:2020 JUMLA ya kilo 1,717,665  za korosho za daraja la kwanza na la pili ziliuzwa katika mnada 11 wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Ruangwa, Nachingwea na Liwale (RUNALI) uliofanyika…

Read More →

Tanzania: Serikali kuendelea kukabili uvuvi haramu

December 23, 2020 Kilimo Tanzania Habari/Makala

BABATI 21:12:2020, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Pauline Gekul amekemea uvuvi usiozingatia sheria na taratibu na kwamba serikali imejipanga kukomesha tabia hiyo ili raslimali zilizopo ziwe endelevu na zinufaishe…

Read More →

Tanzania: Waliosababisha ‘dhiki’ kuzuiwa kuwania uongozi Ushirika

December 23, 2020 Editor Habari/Makala

LINDI: 22:12:2020 Msajiri wa vyama vya Ushirika Lindi, Edmund Massawe ameonya viongozi wa vyama vya ushirika waliosababisha hasara katika vyama vyao kutothubutu kuchukua fomu za kuwania uongozi. Akizungumza baada ya…

Read More →

Prof. Ntiba roots for an alternative production of aquatic proteins in Kenya

December 23, 2020 Editor News

By  Edwin Githinji  E-mail:  eddy.githinji022@gmail.com 23/11/2020 Kenya recognizes the urgent need for the protection of water sources, resources and the implementation of alternative production of aquatic proteins. Kenya’s Principal Secretary…

Read More →

Posts pagination

Previous 1 … 149 150 151 152 153 … 165 Next
© 2025 Kilimo Kwanza. All rights reserved.
  • Articles
  • Research

A Digital Shamba Where Stories Grow Policy, and Data Feeds Action