December 12, 2020
by Editor
Mbeya, 6:12:2020 VIONGOZI wa vijiji,mitaa na vitongoji wilayani Mbarali mkoani Mbeya wameagizwa kusimamia uuzaji mbolea wenye kuzingatia bei elekezi iliyowekwa na Serikali ili kuepusha wakulima kuibiwa na wauzaji wasio waaminifu. Agizo hilo lilitolewa na Kaimu katibu Tawala wa wilaya ya Mbarali,Oliva Sule alipomwakilisha mkuu wa wilaya hiyo Reuben Mfune kutoa salamu za Serikali kwenye Kikao […]
November 23, 2020
by Editor
Mwanza, 23:11:2020 Serikali ya Awamu ya Tano imefanikiwa kurejesha mali za vyama vikuu vya ushirika Nyanza, Geita na Simiyu zenye thamani ya Shilingi Bilioni 61 zilizokuwa zikimilikiwa kinyume cha utaratibu. Akikabidhi hati 37 kwa wenyeviti wa vyama vya Nyanza (NCU),Geita (GCU) na Simiyu (SIMCU) leo (23.11.2020) jijini Mwanza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya […]
November 19, 2020
by Editor
Musoma,19:11:2020 Serikali imezitaka taasisi na mashirika binafsi yanayopokea fedha toka kwa wahisani na wafadhili ndani na nje ya nchi kwa ajili ya kilimo kuhakikisha kwamba wanazitumia katika miradi hiyo ili kukuza sekta ya kilimo na kuwawezesha wakulima kupata kipato. Kauli hiyo ya serikali imetolewa Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya wakati akifungua maonesho ya […]
November 19, 2020
by Editor
” Kilimo mseto kwa usalama wa chakula na kipato” Musoma, 19:11:2020 Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya amehamasisha wakulima na wafugaji nchini kutumia kilimo mseto ili kuongeza uhakika wa chakula na kipato. Alsema hayo akifungua Maonesho ya Kilimo Mseto yanayofanyika mjini Musoma kwa kuwashirikisha wakulima, wafugaji na wavuvi chini ya uratibu wa shirika […]
October 25, 2020
by Editor
___________________ *Flagship to mobilize agro-industrialization investments Dodoma: The East African Community (EAC) food powerhouse, Tanzania has made a bold move expected to greatly accelerate agro-industry based inclusive economic growth, characterized by agro-processing for domestic and export markets. The new catalyst high impact initiative, Tanzania Agro-industries Development Flagship (TAIDF), has been put in place to augment […]
March 18, 2019
by Editor
Kigoma: The Alliance for a Green Revolution in Africa (AGRA) has commended the Government of Tanzania’s effort to uplift smallholder farmers in Kigoma Region. Mr. Donald Mizambwa, Associate Program Officer at Alliance for a Green Revolution in Africa (AGRA) said the government and other stakeholders’ efforts in strengthening agricultural inputs system, technology development, and supply […]
November 18, 2018
by Editor
The Eastern and Southern Africa small-scale Farmers Forum (ESAFF) started this petition to THE EAST AFRICAN COMMUNITY HEADS OF STATE and 2 others For the benefit of over 130 million small-scale farmers (crop growers, pastoralists, fisherfolks and foresters), we kindly demand East African Community (EAC) states make it mandatory (legal requirement) as from 2019/2020 budget to allocate not less […]
January 23, 2018
by Editor
By Angel Navuri Tanzania’s president, H.E. John Pombe Magufuli is pushing the country to manufacturing and agro-processing. For Augusta Madembwe a farmer based in Ikuna, Njombe district, Iringa region, she hopes the push by the president will reach her village. “If the government can create an environment that will enable processing of agro products at […]
January 23, 2018
by Editor
By Angel Navuri After college education, not many young people in Tanzania would willingly chose to be farmers as a career choice due to the doggy peasantry tag associated with agriculture. The situation has been so dire, such that, to turn the tide, the government last year came up with a National Strategy for Youth […]
January 5, 2018
by Editor
By Anthony Muchoki “For years we have been told that hand hoe belongs to the museum yet, it’s what most of our people use… I never thought in my lifetime I would own a tractor and ditch the hoe,” exclaims Mama Zuhura Chonya proudly looking at her machine doing rounds at a neighbor’s farm in […]