Search Agricultural Insights

Menu
Habari/Makala

Wasindika mchele na soko la Afrika mashariki

January 21, 2021 · Kilimokwanza · 3 min read

KAHAMA: 21.1.2021  WASINDIKAJI wa mchele  wameitaka serikali kufungua soko la EAC na SADC  ili waweze kuwa na bei yenye ushindani. Imeelezwa kuwa soko la nje limebanwa na kujikuta wakigiombea wanunuzi wa…

Habari/Makala

Tani 36,298 za katani zazalishwa 2020

January 20, 2021 · Kilimokwanza · 2 min read

MUHEZA 20.01. 2021 Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alisema mwaka 2020 uzalishaji wa mkonge nchini ulikuwa ni tani 36,298 huku malengo yakiwa ni kuzalisha tani 42,286 kwa…

Habari/Makala

Kilimo kupitia upya Sheria ya Ushirika

January 6, 2021 · Kilimo Tanzania · 2 min read

Dodoma: 06.01.2021 WIZARA ya kilimo imesema inajipanga kuanza kupitia upya Sheria ya Ushirika  na kupata maoni ya wadau ili kuwa na sheria mpya ya Ushirika itakayoendana na mazingira…

Habari/Makala

Waziri wa Kilimo aelezea vipaumbele chake

December 21, 2020 · Linnet Muchoki · 2 min read

DODOMA, 21:12;2020 WAZIRI wa Kilimo, Prof Adolf Mkenda amesema kipaumbele chake ni kuona wakulima wanaongeza tija kwenye uzalishaji wa mazao nchini kwa kutumia eneo dogo. Waziri wa Kilimo…

Habari/Makala

Waagizwa kusimamia uuzaji wa mbolea

December 12, 2020 · Editor · 2 min read

Mbeya, 6:12:2020 VIONGOZI wa vijiji,mitaa na vitongoji wilayani Mbarali mkoani Mbeya wameagizwa kusimamia uuzaji mbolea wenye kuzingatia bei elekezi iliyowekwa na Serikali ili kuepusha wakulima kuibiwa na wauzaji…